WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI

Thursday 19 February 2015

WAZIRI CHIKAWE AIWAKILISHA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA KIMATAIFA WA KUPAMBANA NA VURUGU NA UGAIDI, WASHINGTON DC MAREKANI


Rais wa Marekani, Barack Obama akitoa hotuba yake katika Mkutano wa Kimataifa wa Kupambana na Vurugu na Ugaidi duniani uliofanyika katika Ukumbi wa Loy Henderson, Wizara ya Mambo ya Nje, jijini Washington DC nchini humo leo. Mkutano huo uliowashirikisha Mawaziri wanaoshughulika na masuala ya usalama kutoka mataifa mbalimbali duniani, Maafisa Waandamizi wa Umoja wa Mataifa (UN), Vyama vya Kiraia na Sekta Binafsi ulijadili masuala mbalimbali ya jinsi ya kupambana na ugaidi pamoja na vurugu mbalimbali dunaini. Katika hotuba yake, Obama alisema mapambano dhidi ya watu wenye msimamo mkali hayawezi kulinganishwa na mapambano dhidi ya waislamu. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe aliiwakilisha Tanzania katika mkutano huo.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (wapili kulia) akimsikiliza kwa makini Rais Barack Obama (hayupo pichani) wakati alipokuwa anatoa hotuba yake katika Mkutano wa Kimataifa wa Kupambana na Vurugu na Ugaidi duniani uliofanyika katika Ukumbi wa Loy Henderson wa Wizara ya Mambo ya Nje, jijini Washington DC nchini humo leo. Mkutano huo uliowashirikisha Mawaziri wanaoshughulika na masuala ya usalama kutoka mataifa mbalimbali duniani, Maafisa Waandamizi wa Umoja wa Mataifa (UN), Vyama vya Kiraia na Sekta Binafsi ulijadili masuala mbalimbali ya jinsi ya kupambana na vurugu na  ugaidi dunaini. Katika hotuba yake, Obama alisema mapambano dhidi ya watu wenye msimamo mkali hayawezi kulinganishwa na mapambano dhidi ya waislamu, hivyo hakuna dini yoyote inayowajibika kwa ugaidi, isipokuwa watu ndio wanaowajibika kwa vurugu na ugaidi.

Rais wa Marekani, Barack Obama akitoa hotuba yake katika Mkutano wa Kimataifa wa Kupambana na Vurugu na Ugaidi duniani uliofanyika katika Ukumbi wa Loy Henderson, Wizara ya Mambo ya Nje, jijini Washington DC nchini humo leo. Mkutano huo uliowashirikisha Mawaziri wanaoshughulika na masuala ya usalama kutoka mataifa mbalimbali duniani, Maafisa Waandamizi wa Umoja wa Mataifa (UN), Vyama vya Kiraia na Sekta Binafsi ulijadili masuala mbalimbali ya jinsi ya kupambana na ugaidi pamoja na vurugu mbalimbali dunaini. Katika hotuba yake, Obama alisema mapambano dhidi ya watu wenye msimamo mkali hayawezi kulinganishwa na mapambano dhidi ya waislamu. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe aliiwakilisha Tanzania katika mkutano huo.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (wapili kushoto-mstari wa pili), Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico, Liberata Mulamula (nyuma ya waziri) wakimsikiliza kwa makini Rais Barack Obama (hayupo pichani) wakati alipokuwa anatoa hotuba yake katika Mkutano wa Kimataifa wa Kupambana na Vurugu na Ugaidi duniani uliofanyika katika Ukumbi wa Loy Henderson wa Wizara ya Mambo ya Nje, jijini Washington DC nchini humo leo. Mkutano huo uliowashirikisha Mawaziri wanaoshughulika na masuala ya usalama kutoka mataifa mbalimbali duniani, Maafisa Waandamizi wa Umoja wa Mataifa (UN), Vyama vya Kiraia na Sekta Binafsi ulijadili masuala mbalimbali ya jinsi ya kupambana na vurugu na  ugaidi dunaini. Katika hotuba yake, Obama alisema mapambano dhidi ya watu wenye msimamo mkali hayawezi kulinganishwa na mapambano dhidi ya waislamu, hivyo hakuna dini yoyote inayowajibika kwa ugaidi, isipokuwa watu ndio wanaowajibika kwa vurugu na ugaidi. Picha zote na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

No comments:

Post a Comment