Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (katikati) akizungumza
na Balozi wa China nchini, Lu Youqing (watatu kulia) pamoja na maafisa wa
ubalozi huo, masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya Wizara yake na Serikali
ya Jamhuri ya Watu wa China. Mazungumzo hayo yalifanyika katika ofisi ya Waziri
Chikawe, jijini Dar es Salaam leo.
Balozi wa China nchini, Lu Youqing (wapili kulia) akimfafanulia jambo Waziri
wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (kushoto) wakati balozi huyo pamoja
na maafisa wake walipomtembelea Waziri huyo ofisini kwake jijini Dar es Salaam
leo, kujadili masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya nchi yake na Wizara ya
Mambo ya Ndani ya Nchi. Picha zote na Wizara ya Mambo ya Ndani ya
Nchi.
No comments:
Post a Comment