Naibu
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Pereira Ame Silima (katikati) akizungumza na
waandishi wa habari baada ya kupokea hundi ya Sh. Milioni 40 kwa ajili ya
maandalizi ya Wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani, kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji
wa Kampuni ya Puma Energy nchini, Philippe Corsaletti (kulia). Wiki ya Nenda
kwa Usalama Barabarani inatarajiwa kufanyika wiki ijayo, jijini Arusha. Kushoto
ni Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Naibu Kamishna, Mohamed Mpinga.
Makabidhiano hayo yalifanyika katika ukumbi mdogo wa Wizara hiyo, jijini Dar es
Salaam leo. Picha na Wizara ya Mambo ya
Ndani ya Nchi.
|
No comments:
Post a Comment