Msanifu
wa Majengo toka Kampuni CONS AFRIKA ya Jijini Dar es Salaam, Bw. Henry
Mwoleka(wa kwanza kushoto) akisisitiza jambo muhimu wakati Watendaji wa Shirika
la Magereza, GEPF na Wataalam washauri walipotembelea eneo la Uwekezaji la
Kihonda, Mkoani Morogoro ambapo mradi wa Majengo ya vitega uchumi utafanyika.
Timu hiyo ya Wataalam imeendelea na Kikao chake leo Agosti 1, 2014 Mkoani
Morogoro(wa pili kulia) ni Mkuu wa Magereza Mkoa wa Morogoro, Naibu Kamishna wa
Magereza, James Selestine(wa pili kushoto) ni Mtendaji Mkuu wa Shirika la Magereza,
Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Magereza, John Masunga wakisikiliza maelezo ya
Msanifu Majengo wa Kampuni ya CONS AFRIKA ya Jijini Dar es Salaam.
|
No comments:
Post a Comment