WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI

Friday 11 December 2015

NAIBU KATIBU MKUU MAMBO YA NDANI YA NCHI AFUNGUA WARSHA YA MPANGO WA UTANGAMANISHO WA RAIA WAPYA JIJINI DAR ES SALAAM

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, John Mngodo (kushoto) akizungumza na Washiriki wa Warsha ya Majadiliano kuhusu Mpango Mkakati wa Utangamanisho wa Raia Wapya ambao awali walikuwa ni sehemu ya wakimbizi kutoka Burundi waliongia nchini mwaka 1972. Warsha hiyo iliyowashirikisha Makatibu Wakuu wa wizara mbalimbali, Wakuu wa Vyombo vya Usalama, Mwakilishi wa Shirika la Kimataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) pamoja na wadau mbalimbali  ilifanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Protea Courtyard, jijini Dar es Salaam leo. Kulia meza kuu ni Mkurugenzi wa Idara ya Wakimbizi, Harrison Mseke, anayefuata ni Suzan Chekani, Mwakilishi wa Katibu Mkuu wa Tamisemi, na Joyce Mends-Cole, Mwakilishi wa UNHCR nchini.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, John Mngodo (kushoto) akizungumza na washiriki wa Warsha ya Majadiliano kuhusu Mpango Mkakati wa Utangamanisho wa Raia Wapya ambao awali walikuwa ni sehemu ya wakimbizi kutoka Burundi waliongia nchini mwaka 1972. Warsha hiyo iliyowashirikisha Makatibu Wakuu wa wizara mbalimbali, Wakuu wa Vyombo vya Usalama, Mwakilishi wa Shirika la Kimataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) pamoja na wadau mbalimbali  ilifanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Protea Courtyard, jijini Dar es Salaam leo
Mkurugenzi wa Idara ya Wakimbizi, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Harrison Mseke akitoa maelezo mafupi kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, John Mngodo, kufungua Warsha ya Majadiliano kuhusu Mpango Mkakati wa Utangamanisho wa Raia Wapya ambao awali walikuwa ni sehemu ya wakimbizi kutoka Burundi waliongia nchini mwaka 1972. Warsha hiyo iliyowashirikisha Makatibu Wakuu wa wizara mbalimbali, Wakuu wa Vyombo vya Usalama, Mwakilishi wa Shirika la Kimataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) pamoja na wadau mbalimbali ilifanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Protea Courtyard, jijini Dar es Salaam leo.
Mwakilishi wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Suzan Chekani akizungumza na washiriki (hawapo pichani) wa Warsha ya Majadiliano kuhusu Mpango Mkakati wa Utangamanisho wa Raia Wapya ambao awali walikuwa ni sehemu ya wakimbizi kutoka Burundi waliongia nchini mwaka 1972. Warsha hiyo iliyowashirikisha Makatibu Wakuu wa wizara mbalimbali, Wakuu wa Vyombo vya Usalama, Mwakilishi wa Shirika la Kimataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) pamoja na wadau mbalimbali ilifanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Protea Courtyard, jijini Dar es Salaam leo.
Mshauri Mwelekezi wa Mradi wa Utangamanisho, Profesa Bonaventure Rutinwa akitoa elimu ya utangamanisho wa mradi huo kwa Washiriki wa Warsha ya Majadiliano kuhusu Mpango Mkakati wa Utangamanisho wa Raia Wapya ambao awali walikuwa ni sehemu ya wakimbizi kutoka Burundi waliongia nchini mwaka 1972. Warsha hiyo iliyowashirikisha Makatibu Wakuu wa wizara mbalimbali, Wakuu wa Vyombo vya Usalama, Mwakilishi wa Shirika la Kimataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) pamoja na wadau mbalimbali  ilifanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Protea Courtyard, jijini Dar es Salaam leo. Wapili kushoto ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, John Mngodo na Mkurugenzi wa Idara ya Wakimbizi katika wizara hiyo, Harrison Mseke. 
Sehemu ya Washiriki wa Warsha ya Majadiliano kuhusu Mpango Mkakati wa Utangamanisho wa Raia Wapya ambao awali walikuwa ni sehemu ya wakimbizi kutoka Burundi waliongia nchini mwaka 1972, wakimsikiliza Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, John Mngodo (hayupo pichani) wakati alipokuwa anatoa hotuba ya ufunguzi wa Warsha hiyo iliyowashirikisha Makatibu Wakuu wa wizara mbalimbali, Wakuu wa Vyombo vya Usalama, Mwakilishi wa Shirika la Kimataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) pamoja na wadau mbalimbali  ilifanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Protea Courtyard, jijini Dar es Salaam leo.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, John Mngodo (watatu kushoto waliokaa), Mwakilishi wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Suzan Chekani (wapili kushoto waliokaa), Mkurugenzi wa Idara ya Wakimbizi, Harrison Mseke (wapili kulia waliokaa), Mwakilishi wa Shirika la Kimataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR), Joyce Mends-Cole (watatu kulia waliokaa) wakiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa Warsha ya Majadiliano kuhusu Mpango Mkakati wa Utangamanisho wa Raia Wapya ambao awali walikuwa ni sehemu ya wakimbizi kutoka Burundi waliongia nchini mwaka 1972. Warsha hiyo iliyowashirikisha Makatibu Wakuu wa wizara mbalimbali, Wakuu wa Vyombo vya Usalama pamoja na wadau mbalimbali  ilifanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Protea Courtyard, jijini Dar es Salaam leo. Picha zote na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.


No comments:

Post a Comment