WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI

Saturday 7 June 2014

WIZARA YA MAMBO YA NDANI YAANZISHA BLOG


JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI


Simu:  +255-22-2112035/40

Nukushi:  +255-2122617/2120486
Barua Pepe:  ps@moha.go.tz

S.L.P.  9223
Dar es Salaam
       

WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI YAANZISHA BLOG 

Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi anapenda kuwafahamisha Umma kwamba wizara yake imeanzisha ‘BLOG’ Mtandao wa Kijamii utakaotambulika kwa anuani; www.usalamawetu.blogspot.com kama njia mojawapo ya kuwasiliana na Umma juu ya shughuli mbalimbali zinazofanywa na watanzania.

Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali
7 Juni 2014.

No comments:

Post a Comment