WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI

Friday 11 July 2014

MWENYEKITI SARPCCO AMTEMBELEA WAZIRI CHIKAWE OFISINI KWAKE DAR LEO


Mwenyekiti wa Wakuu wa Polisi Kusini mwa Afrika (SARPCCO), Luteni Generali Sebastian Ndeitunga (kulia) akimfafanulia jambo Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (kushoto) kuhusiana na utekelezaji wa maazimio ya SARPCCO. Kikao hicho kilifanyika katika ofisi ya Waziri Chikawe, jijini Dar es Salaam leo. Wapili kulia ni Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Ernest Mangu. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Mwenyekiti wa Wakuu wa Polisi Kusini mwa Afrika (SARPCCO), Luteni Generali Sebastian Ndeitunga (kulia) akimfafanulia jambo Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (katikati) kuhusiana na utekelezaji wa maazimio ya SARPCCO. Kikao hicho kilifanyika katika ofisi ya Waziri Chikawe, jijini Dar es Salaam leo. Wapili kulia ni Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Ernest Mangu, na wapili Kushoto ni Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Kamishna Issaya Mngulu. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (kushoto) akimfafanulia jambo Mwenyekiti wa Wakuu wa Polisi Kusini mwa Afrika (SARPCCO), Luteni Generali Sebastian Ndeitunga (kulia) kuhusiana na utekelezaji wa maazimio ya SARPCCO. Kikao hicho kilifanyika katika ofisi ya Waziri Chikawe, jijini Dar es Salaam leo. Wapili kulia ni Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Ernest Mangu. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

No comments:

Post a Comment