Waziri
wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (kulia) akipokea zawadi kutoka kwa Wakimbizi
wa Kambi ya Nyarugusu, Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma. Waziri Chikawe ambaye
yupo katika ziara ya kikazi katika kambi hiyo, aliwataka wakimbizi hao
wadumishe amani pamoja na kupinga ndoa za utotoni ambazo zimeshika kasi katika
kambi hiyo kubwa ambayo ina wahifadhi zaidi ya wakimbizi 60,000. Kushoto kwa Waziri
ni Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuwahudumia Wakimbizi (UNHCR),
Joyce Mends-Cole.
|
No comments:
Post a Comment