WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI

Sunday 5 October 2014

TIMU ZA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI ZAINGIA 16 BORA, FAINALI SHIMIWI MJINI MOROGORO


Wanamichezo wa Wizara wa Mambo ya Ndani ya Nchi wakimshangilia Alavuya Ntalima baada ya kushiriki mbio za Kilomita 32 za Baiskeli wanawake kutoka Kijiji cha Melela Mlandizi hadi Rombo mjini Morogoro. Timu 12 za Baiskeli za Shirikisho za Michezo ya Wizara na Taasisi za Serikali (SHIMIWI) zilishiriki katika mbio hizo leo. Hata hivyo, Timu za mpira wa miguu, Kamba wanaume na wanawake na Netball zimeingia katika kundi la 16 Bora huku Timu ya mchezo wa riadha mita 100 ya wizara hiyo imeingia fainali.

Wanamichezo wa Wizara wa Mambo ya Ndani ya Nchi wakimshangilia Alavuya Ntalima baada ya kushiriki mbio za Kilomita 32 za Baiskeli wanawake kutoka Kijiji cha Melela Mlandizi hadi Rombo mjini Morogoro. Timu 12 za Baiskeli za Shirikisho za Michezo ya Wizara na Taasisi za Serikali  (SHIMIWI) zilishiriki katika mbio hizo leo. Hata hivyo, Timu za mpira wa miguu, Kamba wanaume na wanawake na Netball zimeingia katika kundi la 16 Bora huku Timu ya mchezo wa riadha mita 100 ya wizara hiyo imeingia fainali.

Mshiriki wa mbio za Baiskeli wanawake, Alavuya Ntalima akishangiliwa na wanamichezo wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi wakati alipokuwa anawasili baada ya kushiriki mbio za Kilomita 32 za Baiskeli kutoka Kijiji cha Melela Mlandizi hadi Rombo mjini Morogoro. Timu 12 za Baiskeli za Shirikisho za Michezo ya Wizara na Taasisi za Serikali  (SHIMIWI) zilishiriki katika mbio hizo leo. Hata hivyo, Timu za mpira wa miguu, Kamba wanaume na wanawake na Netball zimeingia katika kundi la 16 Bora huku Timu ya mchezo wa riadha mita 100 ya wizara hiyo imeingia fainali.

Wanamichezo wa Wizara wa Mambo ya Ndani ya Nchi wakimshangilia Cosmas Peter (aliyevaa kofia) baada ya kushiriki mbio za Kilomita 50 za Baiskeli kundi la wanaume kutoka Kijiji cha Melela Njia Panda ya Msata hadi Rombo mjini Morogoro. Timu 19 za Baiskeli za Shirikisho za Michezo ya Wizara na Taasisi za Serikali  (SHIMIWI) zilishiriki katika mbio hizo leo. Hata hivyo, Timu za mpira wa miguu, Kamba wanaume na wanawake, Netball zimeingia katika kundi la 16 Bora huku Timu ya mchezo wa riadha mita 100 ya wizara hiyo imeingia fainali.

Wanamichezo wa Wizara wa Mambo ya Ndani ya Nchi wakimnyoosha misuli Cosmas Peter baada ya kushiriki mbio za Kilomita 50 za Baiskeli kundi la wanaume kutoka Kijiji cha Melela Njia Panda ya Msata hadi Rombo mjini Morogoro. Timu 19 za Baiskeli za Shirikisho za Michezo ya Wizara na Taasisi za Serikali (SHIMIWI) zilishiriki katika mbio hizo leo. Hata hivyo, Timu za Mpira wa Miguu, Kamba wanaume na wanawake na Netball zimeingia katika kundi la 16 Bora huku Timu ya mchezo wa riadha mita 100 ya wizara hiyo imeingia fainali. Picha zote na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

No comments:

Post a Comment