Muhamasishaji
wa uvutaji kamba Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Salma Hamza (katikati)
akilia kwa furaha baada timu zote mbili za wizara hiyo kuibuka kidedea katika
mashindano ya uvutaji kamba katika mashindano ya Shirikisho la Michezo ya
Wizara pamoja na Taasisi zake (Shimiwi) yanayoendelea katika Uwanja wa Jamhuri
mjini Morogoro.
|
No comments:
Post a Comment