Waziri
wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga akizungumza na Maafisa, Wakaguzi na
Askari wa Jeshi la Polisi katika Ukumbi wa Mikutano wa Kituo Kikuu cha Polisi
(Central) wakati alipokitembelea kituo hicho cha Polisi jijini Dar es Salaam
leo. Pia Waziri Kitwanga katika ziara yake hiyo ya kwanza tangu alipoteuliwa
kuiongoza wizara hiyo, alitembelea Chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es Salaam
(DPA), pamoja na kukagua nyumba za Makazi ya Polisi za sasa na zamani zilizopo
barabara ya Kilwa. Wanne kushoto waliokaa ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Mbarak
Abdulwakil.
|
No comments:
Post a Comment