Waziri
wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga (katikati) akizungumza na Naibu
Waziri wa Wizara ya Usalama wa Raia wa Jamhuri ya Watu wa China, Wang Jiang
(kushoto) wakati alipomsindikiza Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere
jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kumuaga kiongozi huyo wa China. Naibu Waziri
huyo wa China na Waziri Kitwanga, mwanzoni mwa wiki hii walisaini Hati ya
Makubaliano ya ushirikiano kati ya wizara hizo mbili. Kulia ni Naibu Katibu
Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil.
|
No comments:
Post a Comment