Waziri
wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga (kulia) akisaini kitabu cha wageni
katika ofisi ya Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu, Shabani Lila (katikati), mara
baada ya Jaji huyo kumuapisha Waziri Kitwanga kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi
ya Jeshi la Polisi na Magereza, jijini Dar es Salaam leo. Kushoto ni Katibu wa
Waziri huyo, Nelson Kaminyoge.
|
No comments:
Post a Comment