Waziri
wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga (katikati) akiieleza jambo
menejimenti ya Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) wakati alipofanya ziara
ya kikazi Makao Makuu ya NIDA, Kinondoni, jijini Dar es Salaam leo. Watatu kushoto
ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abduwakil, wapili
kushoto ni Naibu Katibu Mkuu wa wizara hiyo, John Mngodo, na watatu kulia ni
Mkurugenzi Mkuu wa NIDA, Dickson Maimu.
|
No comments:
Post a Comment