Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni
akikagua jarada lenye kuonyesha kumbukumbu za waombaji wa hati za kusafiria kutoka katika familia yake, aliyesimama ni Kamishna wa Uhamiaji Zanzibar, Johari Sururu akifuatiwa na Naibu Kamishna wa Utawala na Fedha. Masauni alifanya ziara hiyo ya kikazi kwa ajili ya kujionea shughuli mbalimbali za kiutendaji. |
No comments:
Post a Comment